Malezi Kituoni

  • Kituo chetu kinajivunia uwepo wa Walezi wenye sifa, hamasa na upendo na uzoefu kazini.
  • Wanazingatia sana swala la afya ya akili, utu na amani kwa watoto wetu.
  • Walezi wetu wanajikita katika kuwasaidia watoto kujitambua, kuhusiana/kuwakubali wengine (socialization), kujenga uaminifu, utiifu na ushiriki katika usafi wao wenyewe na mazingira yao kwa kuzingatia umri wa mtoto.
  • Pia tunazingatia sana swala la ubunifu, kukuza upendo na utulivu zitakazomuongoza wakati wote wa maisha yao.

Admin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Posts